Usalama umeimarishwa katika eneo la Matulo kijiji cha
Weighbridge kata ndogo ya Matulo
kufuatia visa vya ukosefu wa usalama ambavyo vimekuwa vikishuhudiwa siku za
hivi majuzi.
Mwenyekiti wa mpango wa nyumba kumi katika eneo hilo Thomas Abukuse amesema kuwa, wamekuwa wakitoa taarifa muhimu zinazohusiana na
usalama kwa maafisa wa polisi, hatua ambayo imepelekea kuimarika kwa hali ya
usalama, huku akitoa wito kwa kwa wadau katika sekta ya usalama kushirikiana
zaidi ili kuwarahisishia majukumu yao.
Ni mpango ulioanzishwa na serikali ya kitaifa yapata
miaka miwili iliyopita, lengo kuu likuwa ni kuimarisha usalama.
No comments:
Post a Comment